Vinara wa Assist Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2025/2026

Vinara wa Assist Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2025/2026
Habari ya wakati huu mwanamichezo wa Zetuforum, hapa utapata orodha ya watoa pasi bora ya mwisho kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2025/2026
Hawa apa ndio Vinara wa pasi saidizi (assists) kwenye Ligi kuu ya NBC Tanzania bara mpaka leo 03/05/2026 sasa msimu huu.
| Rank | Player | Club | Assists |
|---|---|---|---|
| 1 | Feisal Salum | Azam | 7 |
| 2 | Allan Okello | Young Africans | 6 |
| 3 | Elie Mpanzu | Simba | 5 |
| 4 | Duke Abuya | Young Africans | 5 |
| 5 | Ibrahim Imoro | Mtibwa Sugar | 4 |
| 6 | Maxi Nzengeli | Young Africans | 4 |
| 7 | Israel Mwenda | Young Africans | 4 |
| 8 | Anuar Kilemile | JKT Tanzania | 3 |
| 9 | Pacome Zouzoua | Young Africans | 3 |
| 10 | Lamin Jarjou | Singida BS | 3 |
Tags: Vinara wa Assist Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2025/2026
