__________________________

Msimamo Ligi Kuu NBC 2025/2026

__________________________

Matokeo Simba Sc vs Yanga Sc Leo 03/05/2026

__________________________

Magroup ya WhatsApp (Jiunge)

__________________________

WhatsApp Group Join Now

KIKOSI cha Simba Sc vs Yanga Sc Leo 03/05/2026 NBC Tanzania Bara

Filed in Michezo by on May 3, 2026 0 Comments
KIKOSI cha Simba Sc vs Yanga Sc Leo 03/05/2026

KIKOSI cha Simba Sc vs Yanga Sc Leo 03/05/2026

Leo klabu ya Simba Sc inaenda kuivaa Yanga Sc kwenye mwendelezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara majira ya saa 18:00 jioni kwenye uwanja wa Mej. Jenerali Isamuyo – DSM.

Mchezo huu unasubiliwa kwa hamu na mashabikiwa Soka la Tanzania kwani mehi hii ni mechi ya watani wa jadi (Derby ya Kariakoo) pia ni mechi ya kisasi baada ya mechi ile ya fainali ya kombe la Muungano iliyofanyika 29/04/2026 ambayo iliisha kwa Simba kuibuka na ushindi wa bo 1 kwa 0.

Zetuforum  tunakuwekea hapa kikosi chote cha Simba Sc kitakachoenda kukikabili kikosi cha Yanga Sc leo 03/05/2026 kwenye fainali ya Muungano Cup.

KIKOSI cha Simba Sc vs Yanga Sc Leo 03/05/2026

Kikosi harisi tutakiweka lisaa limoja kabla ya kuanza kwa mchezo kikisha tangazwa

Wachezaji wanaotarajia kuunda kikosi cha Simba Sc dhidi ya Yanga Sc Leo

No. Player
39 KASSALI
12 KAPOMBE
32 KIBABAGE
25 TOURE
23 DE REUCK
21 KAGOMA
7 GUEYE
8 KANTE
34 MPANZU
17 CHAMA
20 OURA

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WhatsApp Channel Join Now!