__________________________

Msimamo Ligi Kuu NBC 2025/2026

__________________________

Matokeo Simba Sc vs Yanga Sc Leo 03/05/2026

__________________________

Magroup ya WhatsApp (Jiunge)

__________________________

WhatsApp Group Join Now

KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 03/05/2026 NBC Tanzania Bara

Filed in Michezo by on May 3, 2026 0 Comments
KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 03/05/2026

KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 03/05/2026

Leo klabu ya Yanga inaenda kuivaa Simba Sc kwenye mwendelezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kuanzia majira ya saa 18:00 jioni kwenye uwanja wa Mej. Jenerali Isamuyo – DSM.

Mchezo huu unasubiliwa kwa hamu na mashabikiwa Soka la Tanzania kwani mehi hii ni mechi ya watani wa jadi (Derby ya Kariakoo) mechi inayochezwa ndani na nje ya uwanja. Pia mchezo huu umekua wa kusisimua kutokana na mchezo wa fainali ya kombe la Muungano mchezo ulioisha kwa Simba Sc kuwaadhibu Yanga Sc kwa bao 1 kwa 0.

Zetuforum  tunakuwekea hapa kikosi chote cha yanga sc kitakachoenda kukikabili kikosi cha Simba Sc leo 03/05/2026 kwenye fainali ya Muungano Cup.

KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 03/05/2026

Kikosi harisi tutakiweka lisaa limoja kabla ya kuanza kwa mchezo kikisha tangazwa

Wachezaji wanaotarajia kuunda kikosi cha Yanga Sc dhidi ya Simba Sc Leo

No. Player
39. DIARRA
33. MWENDA
23. BOKA
3. MWAMNYETO (C)
4. BACCA
25. DAMARO
7. MAXI
38. ABUYA
29. DUBE
20. OKELLO
10. PACOME

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WhatsApp Channel Join Now!