Usaili

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI 26/05/2026

Filed in Usaili by on May 27, 2026 0 Comments
MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI 26/05/2026

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA), Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Wakala Ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA), Wakala wa Majengo […]

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Uliofanyika 23-24/05/2026

Filed in Usaili by on May 25, 2026 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Uliofanyika 23-24/05/2026

Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. ICT OFFICER II – APPLICATION DEVELOPER ICT OFFICER II – DATABASE ADMINISTRATOR ICT OFFICER II – SYSTEMS DEVELOPER ICT OFFICER II (SERVER ADMINISTRATOR) INFORMATION COMMUNICATION TECHNOLOGY OFFICER II – SYSTEMS ADMINISTRATOR […]

Continue Reading »

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU (PCCB) 2026 PDF

Filed in Usaili by on May 25, 2026 0 Comments
Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU (PCCB) 2026 PDF

TAKUKURU (PCCB) imetangaza rasmi majina ya walioitwa kwenye usaili wa ajira kwa mwaka 2026, ambapo waombaji waliochaguliwa wanatakiwa kufika kwenye vituo vya usaili wakiwa na nyaraka muhimu kwa ajili ya uhakiki na utambuzi. Wasailiwa wote wanashauriwa kufika kwa wakati kulingana na tarehe, muda na kituo walichopangiwa ili kushiriki hatua hiyo muhimu ya mchakato wa ajira. […]

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili Uliofanyika 24/05/2026 (UTUMISHI)

Filed in Usaili by on May 25, 2026 0 Comments
MATOKEO ya Usaili Uliofanyika 24/05/2026 (UTUMISHI)

Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. TUTORIAL ASSISTANT – CIVIL ENGINEERING TUTORIAL ASSISTANT – ELECTRONICS AND TELECOMMUNICATIONS ENGINEERING TUTORIAL ASSISTANT – FOOD SCIENCE TUTORIAL ASSISTANT – INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY TUTORIAL ASSISTANT – PHYSICS TUTORIAL ASSISTANT – […]

Continue Reading »

MABADILIKO ya Ratiba ya Usaili Kada ya Kitchen Attendant III-Benki Kuu Ya Tanzania

Filed in Usaili by on May 23, 2026 0 Comments
MABADILIKO ya Ratiba ya Usaili Kada ya Kitchen Attendant III-Benki Kuu Ya Tanzania

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anawajulisha waombaji kazi wa Kada ya Kitchen Attendant III ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwamba, kutakuwa na usaili wa kuandika (Mchujo) kabla ya usaili wa vitendo. Usaili huo (Mchujo) utafanyika kwa njia ya Mtandao tarehe 31 Mei, 2026, tembelea akaunti yako ya Ajira Portal na tovuti ya www.ajira.go.tz  kwa taarifa […]

Continue Reading »

TANGAZO la Mabadiliko ya Tarehe ya Usaili wa Vitendo na Mahojiano Mei 2026

Filed in Usaili by on May 20, 2026 0 Comments
TANGAZO la Mabadiliko ya Tarehe ya Usaili wa Vitendo na Mahojiano Mei 2026

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anawajulisha wasailiwa wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere,Wizara ya Elimu na Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania(TLSB) ambao usaili wao wa mahojiano ulipangwa kufanyika tarehe 27 Mei,2026 kuwa usaili huo utafanyika tarehe 28 Mei,2026. Vilevile,wasailiwa wa kada ya TECHNICIAN II (CIVIL) na TECHNICIAN II (MECHANICAL) kwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili […]

Continue Reading »

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe 20/05/2026

Filed in Usaili by on May 20, 2026 0 Comments
MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe 20/05/2026

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 19/06/2026 hadi 20/06/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe 20/05/2026 DOWNLOAD […]

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Vitendo Ulioyofanyika Tarehe 19/05/2026

Filed in Usaili by on May 19, 2026 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Vitendo Ulioyofanyika Tarehe 19/05/2026

Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. ACCOUNTANT I FINANCE MANAGEMENT OFFICER I TECHNICIAN II ( OIL AND GAS TECHNOLOGY) TECHNICIAN II (REFRIGERATION AND AIR CONDITIONING) OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II (3)

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Uliofanyika TAREHE 17/05/2026

Filed in Usaili by on May 19, 2026 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Uliofanyika TAREHE 17/05/2026

Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. AFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II (SOCIAL WELFARE OFFICER GRADE II COPYRIGHT OFFICER GRADE II ICT OFFICER GRADE II (APPLICATION PROGRAMMING) ICT OFFICER GRADE II (BUSINESS ANALYST) ICT OFFICER GRADE […]

Continue Reading »

MATOKEO Ya Usaili Wa Kuandika Uliofanyika Tarehe 16/05/2026

Filed in Usaili by on May 17, 2026 0 Comments
MATOKEO Ya Usaili Wa Kuandika Uliofanyika Tarehe 16/05/2026

Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. ASSISTANT LAND SURVEYOR II GIS TECHINICAN II ICT OFFICER II (DATABASE ADMINISTRATION) ICT OFFICER II (NETWORK ADMINISTRATION) ICT OFFICER II (PROGRAMMER – BACKEND) ICT OFFICER II (PROGRAMMER – MOBILE) ICT OFFICER […]

Continue Reading »

WhatsApp Channel Join Now!