__________________________

Msimamo Ligi Kuu NBC 2025/2026

__________________________

Matokeo Simba Sc vs Yanga Sc Leo 03/05/2026

__________________________

Magroup ya WhatsApp (Jiunge)

__________________________

WhatsApp Group Join Now

Mabadiliko Ya Ratiba Ya Usaili Wa Vitendo Na Mahojiano

Filed in Usaili by on April 26, 2026 0 Comments
Mabadiliko Ya Ratiba Ya Usaili Wa Vitendo Na Mahojiano

Mabadiliko Ya Ratiba Ya Usaili Wa Vitendo Na Mahojiano

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, anawajulisha waombaji kazi wa kada zilizoainishwa kwenye tangazo hili kuwa, kuna mabadiliko ya tarehe za usaili wa vitendo na usaili wa mahojiano.

Kwa kuwa, usaili wa vitendo umepangwa kufanyika kwa siku zaidi ya moja, kila msailiwa anapaswa kuingia kwenye akaunti yake ya Ajira Portal ili kuona tarehe aliyopangiwa kufanya usaili huo kati ya tarehe zilizotajwa.

Aidha,maelekezo mengine muhimu yatabaki kama yalivyotolewa kwenye tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili.

Mabadiliko Ya Ratiba Ya Usaili Wa Vitendo Na Mahojiano

DOWNLOAD PDF HAPA

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WhatsApp Channel Join Now!