Tag: Mechi ya Simba vs Yanga Sc Leo 29/04/2026 Saa Ngapi

Mechi ya Simba vs Yanga Sc Leo 29/04/2026 Saa Ngapi

Filed in Michezo by on April 28, 2026 0 Comments
Mechi ya Simba vs Yanga Sc Leo 29/04/2026 Saa Ngapi

Mechi ya Simba vs Yanga Sc Leo 29/04/2026 Saa Ngapi

Leo 29/04/2026 mashabiki wa soka nchini Tanzania wanaenda ushuhudia mchuano mkubwa wa Derby ya Kariakoo kwenye fainali za kombe la Muungano.

Mchezo huu utakuwa wa kihistoria kwani inawakutanisha wababe wa soka la Tanzania kwenye kombe hilo huku pia mbio za ubingwa wa ligi kuu ya NBC zikiwa zinaendelea.

Taarifa za Mchezo

Timu: Simba Sc vs Yanga Sc

Aina ya Mchezo: Derby ya Kariakoo

Kombe: Muungano Cup

Muda: 02:15 Usiku

Uwanja: New Amaan Complex, Zanzibar

WhatsApp Channel Join Now!