__________________________

Msimamo Ligi Kuu NBC 2025/2026

__________________________

Matokeo Simba Sc vs Yanga Sc Leo 03/05/2026

__________________________

Magroup ya WhatsApp (Jiunge)

__________________________

WhatsApp Group Join Now

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi 30/04/2026

Filed in Usaili by on April 30, 2026 0 Comments
MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi 30/04/2026

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi 30/04/2026

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO), Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), Shirika la Mzinga, Hifadhi za Taifa
Tanzania (TANAPA), Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Chuo cha Maji (WI), Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa
Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu
Nyerere (MNMA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa
kuanzia tarehe 09/05/2026 hadi 22/06/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi 30/04/2026

DOWNLOAD PDF HAPA

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WhatsApp Channel Join Now!