WhatsApp Group Join Now

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI 15/05/2026

Filed in Usaili by on May 15, 2026 0 Comments
MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI 15/05/2026

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI 15/05/2026

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Shirika la Mzinga, Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA), Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA), Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 17/05/2026 hadi 11/07/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI 15/05/2026

DOWNLOAD HAPA PDF

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WhatsApp Channel Join Now!