MAJINA ya Walioitwa Kazini UTUMISHI 27/04/2026

MAJINA ya Walioitwa Kazini UTUMISHI 27/04/2026
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombajikazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 17-12-2025 na tarehe 03-02-2026 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili.
Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana
MAJINA ya Walioitwa Kazini UTUMISHI 27/04/2026
