WhatsApp Group Join Now

MAJINA ya Walioitwa Kazini UTUMISHI 12/05/2026

Filed in Kuitwa Kazini Utumishi by on May 12, 2026 0 Comments
MAJINA ya Walioitwa Kazini UTUMISHI 12/05/2026

MAJINA ya Walioitwa Kazini UTUMISHI 12/05/2026

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji
kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 28-05-2025 na tarehe 23-12-2025
kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika
tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye
kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya
nafasi kupatikana

MAJINA ya Walioitwa Kazini UTUMISHI 12/05/2026

DOWNLOAD PDF HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WhatsApp Channel Join Now!