KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 29/04/2026

KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo
Leo klabu ya Yanga inaenda kuivaa Simba Sc kwenye fainali za michuano ya Muungano Cup majira ya saa 02:15 usiku kwenye uwanja wa New Amaan Complex huko visiwani Zanzibar.
Mchezo huu unasubiliwa kwa hamu na mashabikiwa Soka la Tanzania kwani mehi hii ni mechi ya watani wa jadi (Derby ya Kariakoo) mechi inayochezwa ndani na nje ya uzwanja.
Zetuforum tunakuwekea hapa kikosi chote cha yanga sc kitakachoenda kukikabili kikosi cha Simba Sc leo 29/04/2026 kwenye fainali ya Muungano Cup.
KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 29/04/2026
Kikosi harisi tutakiweka lisaa limoja kabla ya kuanza kwa mchezo kikisha tangazwa
Wachezaji wanaotarajia kuunda kikosi cha Yanga Sc dhidi ya Simba Sc Leo

