WhatsApp Group Join Now

Matokeo Azam FC VS Yanga SC Leo 21/06/2026 CRDB Federation Cup

Filed in Michezo by on June 21, 2026 0 Comments
Matokeo Azam FC VS Yanga SC Leo 21/06/2026

Matokeo Azam FC VS Yanga SC Leo 21/06/2026

Uwanja wa CCM Kirumba na Tanzania kwa ujumla wake,  unashuhudia mvuto mkubwa wa soka la Tanzania leo Jumapili, June 21, 2026, ambapo macho na masikio ya mashabiki yanaelekezwa moja kwa moja kwenye Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup 2026 ikiwakutanisha mahasimu wakubwa wa soka la Tanzania Azam FC na Young Africans SC (Yanga).

Ni mechi yenye uzito mkubwa kihistoria, kiufundi na kimbinu, huku matokeo ya Azam vs Yanga leo 21/06/2026 Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup 2026 yakisubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wa soka ndani na nje ya nchi ya Tanzania.

Fuatilia Hapa Matokeo ya Azam VS Yanga Leo 26/06/2026

Azam Fv

3 – 2

Yanga Sc

 

🏆 #Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup 2026
🆚 Azam FC vs Yanga SC
🗓️ 21 June 2026
🏟️ CCM Kirumba
⏱️ Saa 9:30 alasiri

Soma Pia:

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WhatsApp Channel Join Now!